Rukia maudhui
Zaburi 135:5-7

Ukuu wa Mungu Juu ya Uumbaji Wote

Zaburi 135:5-7
5
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options