Skip to content
Zaburi 135:15-17

Zaburi 135:15-17

15
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options