Skip to content
Zaburi 126:1-2

Zaburi 126:1-2

1
Wimbo wa kwenda juu. Bwana alipowarejeza mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto.
2
Vinywa vyetu vilijaa kicheko, ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, “Bwana amewatendea mambo makuu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options