Skip to content
Zaburi 124:5-8

Zaburi 124:5-8

5
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options