Zaburi 124:5-8
5
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.