Zaburi 124:2-5
2
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5
maji yaendayo kasi yangalituchukua.