Skip to content
Zaburi 124:2-5

Zaburi 124:2-5

2
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options