Rukia maudhui
Zaburi 121:3-6

Mlinzi Asiyesinzia

Zaburi 121:3-6
3
Hatauacha mguu wako uteleze, yeye akulindaye hatasinzia,
4
hakika, yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi.
5
Bwana anakulinda, Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,
6
jua halitakudhuru mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options