Rukia maudhui
Zaburi 120:5-7

Kuomboleza Uhamishoni Kati ya Watu Wenye Uadui

Zaburi 120:5-7
5
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options