Skip to content
Zaburi 12:5-8

Zaburi 12:5-8

5
“Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge na kulia kwa uchungu kwa wahitaji, nitainuka sasa,” asema Bwana. “Nitawalinda kutokana na wale wenye nia mbaya juu yao.”
6
Maneno ya Bwana ni safi, kama fedha iliyosafishwa katika tanuru, iliyosafishwa mara saba.
7
Ee Bwana, utatuweka salama na kutulinda na kizazi hiki milele.
8
Watu waovu huenda wakiringa kila mahali wakati ambapo yule aliye mbaya sana ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options