Skip to content
Zaburi 119:9-16

Zaburi 119:9-16

9
Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani? Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.
10
Ninakutafuta kwa moyo wangu wote, usiniache niende mbali na amri zako.
11
Nimelificha neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.
12
Sifa ni zako, Ee Bwana, nifundishe maagizo yako.
13
Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote zinazotoka katika kinywa chako.
14
Ninafurahia kufuata sheria zako kama mtu afurahiaye mali nyingi.
15
Ninatafakari maagizo yako na kuziangalia njia zako.
16
Ninafurahia maagizo yako, wala sitalipuuza neno lako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options