Skip to content
Zaburi 119:169-170

Zaburi 119:169-170

169
Ee Bwana, kilio changu na kifike mbele zako, nipe ufahamu sawasawa na neno lako.
170
Maombi yangu na yafike mbele zako, niokoe sawasawa na ahadi yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options