Skip to content
Zaburi 119:145-149

Zaburi 119:145-149

145
Ee Bwana, ninakuita kwa moyo wangu wote, nami nitayatii maagizo yako.
146
Ninakuita; niokoe nami nitazishika sheria zako.
147
Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada; nimeweka tumaini langu katika neno lako.
148
Sikufumba macho yangu usiku kucha, ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.
149
Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako, Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options