Skip to content
Zaburi 119:121-125

Zaburi 119:121-125

121
Nimetenda yaliyo haki na sawa, usiniache mikononi mwa watesi wangu.
122
Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanionee.
123
Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako, na kuitazamia ahadi yako ya kweli.
124
Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako na unifundishe maagizo yako.
125
Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu ili niweze kuelewa sheria zako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options