Skip to content
Zaburi 118:5-7

Zaburi 118:5-7

5
Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana, naye akanijibu kwa kuniweka huru.
6
Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
7
Bwana yuko pamoja nami, yeye ni msaidizi wangu. Nitawatazama adui zangu wakiwa wameshindwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options