Zaburi 118:5-7
5
Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana, naye akanijibu kwa kuniweka huru.
6
Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
7
Bwana yuko pamoja nami, yeye ni msaidizi wangu. Nitawatazama adui zangu wakiwa wameshindwa.