Rukia maudhui
Zaburi 112:2-3

Thawabu za Mwenye Haki na Wazao Wake

Zaburi 112:2-3
2
Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3
Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options