Skip to content
Zaburi 109:26-31

Zaburi 109:26-31

26
Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie, niokoe sawasawa na upendo wako.
27
Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako, kwamba wewe, Ee Bwana, umetenda hili.
28
Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki, watakaposhambulia wataaibishwa, lakini mtumishi wako atashangilia.
29
Washtaki wangu watavikwa fedheha, na kufunikwa na aibu kama joho.
30
Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana, katika umati mkubwa nitamsifu.
31
Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji, kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options