Skip to content
Zaburi 109:30-31

Zaburi 109:30-31

30
Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana, katika umati mkubwa nitamsifu.
31
Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji, kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options