Skip to content
Zaburi 108:1-3

Zaburi 108:1-3

1
Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
2
Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
3
Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options