Skip to content
Zaburi 106:38-40

Zaburi 106:38-40

38
Walimwaga damu isiyo na hatia, damu za wana wao na binti zao, ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani, nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.
39
Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
40
Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake na akauchukia sana urithi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options