Skip to content
Zaburi 106:28-31

Zaburi 106:28-31

28
Walijifunga nira na Baali wa Peori, wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.
29
Waliichochea hasira ya Bwana, wakamkasirisha kwa matendo yao maovu, nayo tauni ikazuka katikati yao.
30
Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati, nayo tauni ikazuiliwa.
31
Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options