Skip to content
Zaburi 106:19-21

Zaburi 106:19-21

19
Huko Horebu walitengeneza ndama, na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.
20
Waliubadilisha Utukufu wao kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.
21
Walimsahau Mungu aliyewaokoa, aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options