Skip to content
Zaburi 106:19-20

Zaburi 106:19-20

19
Huko Horebu walitengeneza ndama, na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.
20
Waliubadilisha Utukufu wao kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options