Rukia maudhui
Zaburi 10:12-15

Ombi la Mungu Kuingilia

Zaburi 10:12-15
12
Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu. Usiwasahau wanyonge.
13
Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu? Kwa nini anajiambia mwenyewe, “Hataniita nitoe hesabu?”
14
Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni, umekubali kuyapokea mkononi mwako. Mhanga anajisalimisha kwako, wewe ni msaada wa yatima.
15
Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya, mwite atoe hesabu ya maovu yake ambayo yasingejulikana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options