- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Sifa na Thawabu za Hekima
Mithali 8:12-21
12
“Mimi hekima, nakaa pamoja na busara; ninamiliki maarifa na busara.
13
Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; ninachukia kiburi na majivuno, tabia mbaya na mazungumzo potovu.
14
Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu; nina ufahamu na nina nguvu.
15
Kwa msaada wangu wafalme hutawala na watawala hutunga sheria zilizo za haki,
16
kwa msaada wangu wakuu hutawala, na wenye vyeo wote watawalao dunia.
17
Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
18
Utajiri na heshima viko kwangu, utajiri udumuo na mafanikio.
19
Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.
20
Natembea katika njia ya unyofu katika mapito ya haki,
21
nawapa utajiri wale wanipendao na kuzijaza hazina zao.
Settings