Rukia maudhui
Mithali 8:1-4

Mwito wa Hekima Hadharani

Mithali 8:1-4
1
Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?
2
Juu ya miinuko karibu na njia, penye njia panda, ndipo asimamapo;
3
kando ya malango yaelekeayo mjini, kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:
4
“Ni ninyi wanaume, ninaowaita; ninapaza sauti yangu kwa wanadamu wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options