Mithali 4:5-7
5
Pata hekima, pata ufahamu; usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.
6
Usimwache hekima naye atakuweka salama; mpende, naye atakulinda.
7
Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima. Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.