Skip to content
Mithali 4:5-7

Mithali 4:5-7

5
Pata hekima, pata ufahamu; usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.
6
Usimwache hekima naye atakuweka salama; mpende, naye atakulinda.
7
Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima. Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options