Mithali 4:3-6
3
Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu, ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama yangu,
4
baba alinifundisha akisema, “Yashike maneno yangu yote kwa moyo wako wote; yashike maagizo yangu na wewe utaishi.
5
Pata hekima, pata ufahamu; usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.
6
Usimwache hekima naye atakuweka salama; mpende, naye atakulinda.
Settings