Skip to content
Mithali 31:13-18

Mithali 31:13-18

13
Huchagua sufu na kitani naye hufanya kazi kwa mikono yenye bidii.
14
Yeye ni kama meli za biashara akileta chakula chake kutoka mbali.
15
Yeye huamka kungali bado giza huwapa jamaa yake chakula na mafungu kwa watumishi wake wa kike.
16
Huangalia shamba na kulinunua, kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.
17
Hufanya kazi zake kwa nguvu, mikono yake ina nguvu kwa ajili ya kazi zake.
18
Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options