Rukia maudhui
Mithali 30:11-14

Vizazi Vinne vya Waovu

Mithali 30:11-14
11
“Wako watu wale ambao huwalaani baba zao na wala hawawabariki mama zao;
12
wale ambao ni safi machoni pao wenyewe kumbe hawakuoshwa uchafu wao;
13
wale ambao daima macho yao ni ya kiburi, ambao kutazama kwao ni kwa dharau;
14
wale ambao meno yao ni panga na ambao mataya yao yamewekwa visu kuwaangamiza maskini katika nchi, na wahitaji kutoka miongoni mwa wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options