உள்ளடக்கத்திற்குச் செல்க
Mithali 3:23-26

Mithali 3:23-26

23
Kisha utaenda katika njia yako salama, wala mguu wako hautajikwaa;
24
ulalapo, hautaogopa; ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.
25
Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,
26
kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options