Skip to content
Mithali 27:3-6

Mithali 27:3-6

3
Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo, lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.
4
Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika, lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?
5
Afadhali karipio la wazi kuliko upendo uliofichika.
6
Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu, bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options