Skip to content
Mithali 27:3-6

Hatari za Hisia na Husuda

Mithali 27:3-6
3
Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo, lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.
4
Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika, lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?
5
Afadhali karipio la wazi kuliko upendo uliofichika.
6
Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu, bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options