Mithali 20:9-11
9
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
10
Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, Bwana huchukia vyote viwili.
11
Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.