Skip to content
Mithali 20:9-12

Mithali 20:9-12

9
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
10
Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, Bwana huchukia vyote viwili.
11
Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.
12
Masikio yasikiayo na macho yaonayo, Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options