Skip to content
Mithali 20:7-8

Mithali 20:7-8

7
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
8
Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options