Skip to content
Mithali 20:7-8

Uadilifu, Haki na Ufalme

Mithali 20:7-8
7
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
8
Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options