Mithali 20:26-30
26
Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
27
Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani.
28
Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
29
Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.
30
Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.
Settings