Rukia maudhui
Mithali 2:2-4

Mithali 2:2-4

2
kutega sikio lako kwenye hekima na kuweka moyo wako katika ufahamu,
3
na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu,
4
na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options