Skip to content
Mithali 2:16-17

Mithali 2:16-17

16
Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba, kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno ya kushawishi kutenda ubaya,
17
aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options