Skip to content
Mithali 19:16-19

Mithali 19:16-19

16
Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake, bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.
17
Yeye amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamtuza kwa aliyotenda.
18
Mrudi mwanao, kwa maana katika hiyo kuna tumaini, usiwe mshirika katika mauti yake.
19
Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima atapata adhabu yake, kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options