Rukia maudhui
Mithali 19:1-3

Uadilifu Dhidi ya Upumbavu

Mithali 19:1-3
1
Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko mpumbavu ambaye midomo yake imepotoka.
2
Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
3
Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake hata hivyo moyo wake humkasirikia Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options