Skip to content
Mithali 18:9-13

Mithali 18:9-13

9
Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.
10
Jina la Bwana ni ngome imara, wenye haki huikimbilia na kuwa salama.
11
Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, wanaudhania kuwa ukuta usioweza kurukwa.
12
Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima.
13
Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, huo ni upumbavu wake na aibu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options