Skip to content
Mithali 12:1-3

Njia ya Uthabiti na Kibali cha Mungu

Mithali 12:1-3
1
Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
2
Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
3
Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options