Skip to content
Mithali 12:1-3

Mithali 12:1-3

1
Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
2
Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
3
Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options