Skip to content
Mithali 11:27-31

Mithali 11:27-31

27
Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.
28
Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka, bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.
29
Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo, naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.
30
Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huvuta roho za watu.
31
Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani, si zaidi sana yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options