Mithali 11:24-26
24
Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi, mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
25
Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.
26
Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka, bali baraka itamkalia kichwani kama taji yeye aliye radhi kuiuza.