Rukia maudhui
Hesabu 8:23-26

Masharti ya Umri kwa Huduma ya Walawi

Hesabu 8:23-26
23
Bwana akamwambia Mose,
24
“Hili linawahusu Walawi: Wanaume wenye umri wa miaka ishirini na mitano au zaidi watakuja kushiriki katika kazi kwenye Hema la Kukutania,
25
lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.
26
Wanaweza kuwasaidia ndugu zao kufanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, lakini wao wenyewe kamwe hawatafanya hiyo kazi. Basi, hivi ndivyo utakavyogawa wajibu kwa Walawi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options