Rukia maudhui
Hesabu 4:18-20

Kuwalinda Wakohathi na Kifo

Hesabu 4:18-20
18
“Hakikisheni kwamba koo za kabila la Wakohathi hawatengwi kutoka Walawi.
19
Ili wapate kuishi wala wasife wanapokaribia vitu vitakatifu sana, uwafanyie hivi: Aroni na wanawe watakwenda mahali patakatifu na kumgawia kila mtu kazi yake, na kwamba ni nini atakachochukua.
20
Lakini Wakohathi hawaruhusiwi kuingia ndani ili kuangalia vitu vitakatifu, hata kwa kitambo kidogo, la sivyo watakufa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options