Hesabu 32:40-42
40
Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.
41
Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi.
42
Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.