Hesabu 32:39-41
39
Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko.
40
Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.
41
Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi.