Rukia maudhui
Hesabu 28:1-2

Sheria ya Sadaka za Pamoja

Hesabu 28:1-2
1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options