Skip to content
Hesabu 22:9-12

Hesabu 22:9-12

9
Mungu akamjia Balaamu na kumuuliza, “Watu gani hawa walio pamoja nawe?”
10
Balaamu akamwambia Mungu, “Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alinipelekea ujumbe huu:
11
‘Taifa ambalo limekuja kutoka Misri limefunika uso wa nchi. Sasa uje unilaanie hao watu. Kisha huenda nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’ ”
12
Lakini Bwana akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja nao. Hupaswi kulaani watu hao, kwa kuwa wamebarikiwa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options