Rukia maudhui
Hesabu 11:1-3

Moto huko Tabera

Hesabu 11:1-3
1
Basi watu wakalalamika kwa habari ya taabu zao masikioni mwa Bwana, naye alipowasikia, hasira yake ikawaka. Ndipo moto kutoka kwa Bwana ukawaka miongoni mwao na kuteketeza baadhi ya viunga vya kambi.
2
Watu walipomlilia Mose, akamwomba Bwana, nao moto ukazimika.
3
Hivyo mahali pale pakaitwa Tabera, kwa sababu moto kutoka kwa Bwana uliwaka miongoni mwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options