Skip to content
Hesabu 1:17-18

Hesabu 1:17-18

17
Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao,
18
wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options